-
Kumbukumbu la Torati 10:17, 18Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
17 Kwa maana Yehova Mungu wenu ni Mungu wa miungu+ na Bwana wa mabwana, Mungu mukubwa, mwenye nguvu, na mwenye kuogopesha sana, mwenye hamutendee mutu yeyote kwa upendeleo+ na hakubali rushwa.* 18 Anatenda haki kwa ajili ya mutoto mwenye hana baba* na mujane+ na anamupenda mukaaji mugeni,+ anamupatia chakula na nguo.
-