17 Musipangiane mabaya katika mioyo yenu,+ na musipende kiapo chochote cha uongo;+ kwa maana hayo ndiyo mambo yote yenye ninachukia,’+ ni vile Yehova anasema.”
16 Kwa maana ninachukia* kuvunja ndoa,”+ ni vile Yehova Mungu wa Israeli anasema, “na mwenye kufunika nguo yake jeuri,”* ni vile Yehova wa majeshi anasema. “Na mujilinde kuhusiana na roho yenu, na hamupaswe kutenda kwa udanganyifu.+