-
2 Samweli 12:10, 11Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
10 Sasa upanga hautaondoka hata kidogo katika nyumba yako,+ kwa sababu ulinizarau kwa kukamata bibi ya Uria Muhiti ili akuwe bibi yako.’ 11 Yehova anasema hivi: ‘Angalia, ninaleta juu yako musiba kutoka katika nyumba yako mwenyewe;+ na mbele ya macho yako mwenyewe, nitakamata bibi zako na kumupatia mwanaume mwingine,*+ naye atalala na bibi zako wakati wa muchana.*+
-