-
Mambo ya Walawi 5:2Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
2 “‘Ao wakati mutu anagusa kitu chochote chenye hakiko safi, ikuwe muzoga wa munyama wa pori, muzoga wa munyama wa kufugwa, ao kiumbe chenye hakiko safi chenye kupatikana kwa wingi,+ mutu huyo haiko safi na amekuwa na hatia hata kama hatambue jambo hilo.
-