Isaya 45:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 45 Yehova anamuambia hivi mutiwa-mafuta wake, Koreshi,+Mwenye nimeshika mukono wake wa kuume,+Ili kutiisha mataifa mbele yake,+Kunyanganya wafalme silaha,*Kufungua mbele yake milango yenye pande mbili,Na hivyo milango mikubwa haitafungwa:
45 Yehova anamuambia hivi mutiwa-mafuta wake, Koreshi,+Mwenye nimeshika mukono wake wa kuume,+Ili kutiisha mataifa mbele yake,+Kunyanganya wafalme silaha,*Kufungua mbele yake milango yenye pande mbili,Na hivyo milango mikubwa haitafungwa: