-
Ufunuo 10:9, 10Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
9 Nikaenda kwa ule malaika na kumuambia anipatie kile kitabu kidogo cha kukunjwa. Akaniambia: “Kikamate na ukikule,+ na kitafanya tumbo lako likuwe na uchungu, lakini katika kinywa chako kitakuwa kitamu kama asali.” 10 Nikakamata kile kitabu kidogo cha kukunjwa kutoka katika mukono wa ule malaika na nikakikula,+ na katika kinywa changu kilikuwa kitamu kama asali,+ lakini kisha kukikula, tumbo langu likakuwa na uchungu.
-