21 Na Yehova akaanza kusikia harufu ya muzuri. Kwa hiyo Yehova akasema katika moyo wake: “Sitalaani tena inchi+ hata kidogo kwa sababu ya mwanadamu, kwa maana muelekeo wa moyo wa mwanadamu ni mubaya kuanzia ujana wake;+ na mimi sitapiga na kuua tena kila kitu chenye uzima kama vile nimefanya.+