-
Marko 10:33, 34Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
33 “Muangalie! tunapanda kuenda Yerusalemu, na Mwana wa binadamu atatiwa katika mikono ya wakubwa wa makuhani na waandishi. Watamutolea hukumu ya kifo na kumutia katika mikono ya watu wa mataifa, 34 na hawa watamuchekelea, watamutemea mate, watamupiga mijeledi na kumuua, lakini kisha siku tatu (3) atafufuka.”+
-