-
Matendo 3:16Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
16 Na kupitia jina lake, na kupitia imani yetu katika jina lake, mwanaume huyu mwenye munaona na munamujua, amefanywa akuwe na nguvu. Imani yenye tuko nayo kwa sababu yake imefanya mwanaume huyu akuwe na afya ya muzuri kabisa mbele yenu ninyi wote.
-