-
Yohana 3:1, 2Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
3 Kulikuwa mutu mumoja kati ya Wafarisayo mwenye aliitwa Nikodemo;+ alikuwa mutawala wa Wayahudi. 2 Mutu huyo alikuja kwa Yesu usiku+ na kumuambia: “Rabi,+ tunajua kama umetoka kwa Mungu ukiwa mwalimu, kwa maana hakuna mutu mwenye anaweza kufanya alama+ hizi zenye unafanya kama Mungu haiko pamoja naye.”+
-