Luka 21:36 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 36 Basi, muendelee kukesha,+ mukimulilia Mungu* kila wakati+ ili muweze kuponyoka mambo haya yote yenye yanapaswa kutokea na kusimama mbele ya Mwana wa binadamu.”+ 1 Watesalonike 5:6 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 6 Kwa hiyo basi, tusiendelee kulala usingizi kama wengine,+ lakini tukae macho+ na kulinda akili zetu.+
36 Basi, muendelee kukesha,+ mukimulilia Mungu* kila wakati+ ili muweze kuponyoka mambo haya yote yenye yanapaswa kutokea na kusimama mbele ya Mwana wa binadamu.”+
6 Kwa hiyo basi, tusiendelee kulala usingizi kama wengine,+ lakini tukae macho+ na kulinda akili zetu.+