Kumbukumbu la Torati 25:4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 4 “Haupaswe kufunga kinywa cha ngombe-dume wakati anakanyanga-kanyanga nafaka.+ 1 Timoteo 5:18 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 18 Kwa maana andiko linasema: “Haupaswe kufunga kinywa cha ngombe-dume wakati anakanyanga-kanyanga nafaka,”+ pia, “Mufanyakazi anastahili malipo yake.”+
18 Kwa maana andiko linasema: “Haupaswe kufunga kinywa cha ngombe-dume wakati anakanyanga-kanyanga nafaka,”+ pia, “Mufanyakazi anastahili malipo yake.”+