3 Paulo alitamani Timoteo aende pamoja naye, basi akamuchukua na akamutahiri kwa sababu ya Wayahudi wenye walikuwa katika sehemu hizo,+ kwa maana wote walijua kwamba baba yake alikuwa Mugiriki.
18 Lakini, kisha kukaa tena siku fulani, Paulo akaaga ndugu na kusafiri kwa mashua* na kuenda Siria, pamoja na Prisila na Akila. Alikuwa amekatisha nywele zake kule Kenkrea,+ kwa sababu alikuwa amefanya naziri.