Waroma 12:14 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 14 Muendelee kubariki wale wenye wanawatesa ninyi;+ mubariki lakini musilaani.+ 1 Petro 3:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Musilipe ubaya kwa ubaya+ ao matukano kwa matukano.+ Tofauti na hilo, mulipe kwa kubariki,+ kwa maana muliitwa kwenye njia hii, ili muriti baraka.
9 Musilipe ubaya kwa ubaya+ ao matukano kwa matukano.+ Tofauti na hilo, mulipe kwa kubariki,+ kwa maana muliitwa kwenye njia hii, ili muriti baraka.