7 Kwa maana akiwa musimamizi-nyumba wa Mungu, mwangalizi anapaswa kuwa mutu mwenye hana mashitaka, asikuwe kichwa-nguvu,+ asikuwe mwenye kukasirika haraka,+ asikuwe mulevi, asikuwe mutu wa jeuri, asikuwe mwenye pupa ya kupata faida yenye haiko ya haki,