Kutoka 34:28 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 28 Musa akaendelea kukaa huko pamoja na Yehova kwa siku 40, mchana na usiku. Hakula mkate wala kunywa maji.+ Naye Mungu aliandika kwenye yale mabamba, maneno ya agano hilo, zile Amri Kumi.*+
28 Musa akaendelea kukaa huko pamoja na Yehova kwa siku 40, mchana na usiku. Hakula mkate wala kunywa maji.+ Naye Mungu aliandika kwenye yale mabamba, maneno ya agano hilo, zile Amri Kumi.*+