17 “Tazama, mimi ninaleta gharika+ ya maji duniani ili kuharibu kutoka chini ya mbingu wote wenye mwili walio na nguvu za uhai ndani yao.+ Kila kitu kilicho duniani kitakata pumzi.+
9 “Jambo hili kwangu ni kama tu siku za Noa.+ Kama vile ambavyo nimeapa kwamba maji ya Noa hayatapita tena juu ya dunia,+ vivyo hivyo nimeapa kwamba sitakuwa na ghadhabu tena kukuelekea wewe wala kukukemea.+