2 Naye akaendelea kusema: “Tafadhali, mchukue mwana wako, mwana wako wa pekee unayempenda sana,+ Isaka,+ ufunge safari kwenda nchi ya Moria+ na huko umtoe kama toleo la kuteketezwa juu ya mmoja kati ya milima ambao nitakuonyesha.”+
24 na moto ukatoka mbele za Yehova+ nao ukaanza kuteketeza lile toleo la kuteketezwa na vile vipande vyenye mafuta juu ya madhabahu. Watu wote walipoona hilo, wakaanza kupaaza sauti+ zao nao wakaanguka kifudifudi.