3 Basi wanaume wote wazee+ wa Israeli wakaja kwa mfalme katika Hebroni, na Mfalme Daudi akafanya agano+ nao katika Hebroni mbele za Yehova; kisha wakamtia mafuta+ Daudi awe mfalme juu ya Israeli.+
5 Katika Hebroni alitawala akiwa mfalme juu ya Yuda kwa miaka 7 na miezi 6;+ na katika Yerusalemu+ akatawala akiwa mfalme kwa miaka 33 juu ya Israeli yote na Yuda.