Zaburi 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Amechimbua shimo, naye akalichimba;+Lakini ataanguka katika shimo alilolifanyiza.+ Zaburi 35:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana wamenifichia bila sababu shimo lao lenye wavu;+Wamelichimba bila sababu kwa ajili ya nafsi yangu.+ Zaburi 140:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Waliojiinua wenyewe wameficha mtego kwa ajili yangu;+Nao wamezitandika kamba kama wavu kando ya njia.+Wametega minaso kwa ajili yangu.+ Sela. Methali 29:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwanamume anayembembeleza rafiki yake+ anatandika wavu kwa ajili ya hatua zake.+
7 Kwa maana wamenifichia bila sababu shimo lao lenye wavu;+Wamelichimba bila sababu kwa ajili ya nafsi yangu.+
5 Waliojiinua wenyewe wameficha mtego kwa ajili yangu;+Nao wamezitandika kamba kama wavu kando ya njia.+Wametega minaso kwa ajili yangu.+ Sela.