Zaburi 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yeye anaendelea kuvizia katika mahali palipofichika kama simba mafichoni mwake.+Anaendelea kuvizia+ ili amchukue kwa nguvu mtu fulani mwenye kuteseka.Humchukua kwa nguvu mtu mwenye kuteseka anapouvuta pamoja wavu wake.+ Zaburi 35:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana wamenifichia bila sababu shimo lao lenye wavu;+Wamelichimba bila sababu kwa ajili ya nafsi yangu.+ Zaburi 57:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wametayarisha wavu kwa ajili ya hatua zangu;+Nafsi yangu imeinama chini.+Wamechimba mtego wa shimo mbele yangu;Wameanguka ndani yake.+ Sela.
9 Yeye anaendelea kuvizia katika mahali palipofichika kama simba mafichoni mwake.+Anaendelea kuvizia+ ili amchukue kwa nguvu mtu fulani mwenye kuteseka.Humchukua kwa nguvu mtu mwenye kuteseka anapouvuta pamoja wavu wake.+
7 Kwa maana wamenifichia bila sababu shimo lao lenye wavu;+Wamelichimba bila sababu kwa ajili ya nafsi yangu.+
6 Wametayarisha wavu kwa ajili ya hatua zangu;+Nafsi yangu imeinama chini.+Wamechimba mtego wa shimo mbele yangu;Wameanguka ndani yake.+ Sela.