4 Na watu wa Daudi wakaanza kumwambia: “Hii ndiyo siku ambayo Yehova anakuambia, ‘Tazama! Ninamtia adui yako mkononi mwako,+ nawe umtendee kama inavyoonekana vema machoni pako.’”+ Kwa hiyo Daudi akasimama, akakata kimyakimya upindo wa koti lisilo na mikono la Sauli.