10 Naye akafanya Tofethi+ pasifae kwa ibada, mahali palipo katika bonde la wana wa Hinomu,+ ili yeyote asipitishe motoni mwana wake wala binti yake+ kwa Moleki.+
32 “‘Kwa hiyo, tazama! siku zinakuja,’ asema Yehova, ‘wakati halitaitwa tena Tofethi na bonde la mwana wa Hinomu, bali bonde la uuaji;+ nao watazika katika Tofethi bila ya kuwa na nafasi ya kutosha hapo.+
6 “‘“Kwa hiyo, tazama! kuna siku zinakuja,” asema Yehova, “wakati mahali hapa hapataitwa tena Tofethi+ na bonde la mwana wa Hinomu,+ bali bonde la uuaji.