Yeremia 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini msiposikia jambo hilo,+ nafsi yangu italia na kutoa machozi katika mahali pa maficho kwa sababu ya kiburi nayo hakika itatoa machozi; na jicho langu litatiririka machozi,+ kwa sababu kundi+ la Yehova litakuwa limekwisha kuchukuliwa mateka. Maombolezo 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Njia za Sayuni zinaomboleza, kwa sababu hakuna yeyote anayekuja kwenye sherehe.+Malango yake yote yamefanywa ukiwa;+ makuhani wake wanaugua.+Mabikira wake wamepata huzuni, naye mwenyewe ana uchungu.+
17 Lakini msiposikia jambo hilo,+ nafsi yangu italia na kutoa machozi katika mahali pa maficho kwa sababu ya kiburi nayo hakika itatoa machozi; na jicho langu litatiririka machozi,+ kwa sababu kundi+ la Yehova litakuwa limekwisha kuchukuliwa mateka.
4 Njia za Sayuni zinaomboleza, kwa sababu hakuna yeyote anayekuja kwenye sherehe.+Malango yake yote yamefanywa ukiwa;+ makuhani wake wanaugua.+Mabikira wake wamepata huzuni, naye mwenyewe ana uchungu.+