Zaburi 106:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Naye alikuwa karibu kusema waangamizwe,+Isingalikuwa ni kwa sababu ya Musa mchaguliwa wake,Aliyesimama penye mwanya mbele zake,+Ili kuigeuza ghadhabu yake asiwaharibu.+ Ezekieli 22:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “ ‘Nami nikaendelea kumtafuta mtu kati yao ambaye angekuwa akiurekebisha ukuta wa mawe+ na kusimama katika pengo+ mbele yangu kwa ajili ya nchi hiyo, ili mimi nisiiangamize;+ nami sikumpata yeyote.
23 Naye alikuwa karibu kusema waangamizwe,+Isingalikuwa ni kwa sababu ya Musa mchaguliwa wake,Aliyesimama penye mwanya mbele zake,+Ili kuigeuza ghadhabu yake asiwaharibu.+
30 “ ‘Nami nikaendelea kumtafuta mtu kati yao ambaye angekuwa akiurekebisha ukuta wa mawe+ na kusimama katika pengo+ mbele yangu kwa ajili ya nchi hiyo, ili mimi nisiiangamize;+ nami sikumpata yeyote.