Zaburi 38:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini wale wanaoitafuta nafsi yangu wanatega mitego,+Na wale wanaotaka kuniletea msiba wamesema mabaya,+Nao kwa sauti ya chini wanaendelea kusema udanganyifu mchana kutwa.+ Zaburi 64:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wanashikilia maneno mabaya;+Wanasema juu ya kuficha mitego.+Wamesema: “Ni nani anayewaona?”+ Zaburi 140:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Waliojiinua wenyewe wameficha mtego kwa ajili yangu;+Nao wamezitandika kamba kama wavu kando ya njia.+Wametega minaso kwa ajili yangu.+ Sela.
12 Lakini wale wanaoitafuta nafsi yangu wanatega mitego,+Na wale wanaotaka kuniletea msiba wamesema mabaya,+Nao kwa sauti ya chini wanaendelea kusema udanganyifu mchana kutwa.+
5 Waliojiinua wenyewe wameficha mtego kwa ajili yangu;+Nao wamezitandika kamba kama wavu kando ya njia.+Wametega minaso kwa ajili yangu.+ Sela.