13 Na sasa kwa sababu mliendelea kufanya kazi hizi zote,’ asema Yehova, ‘nami nikaendelea kusema nanyi, nikiamka mapema na kusema,+ lakini hamkusikiliza,+ nami nikaendelea kuwaita, lakini hamkujibu,+
4 Nami niliendelea kuwatuma kwenu watumishi wangu wote manabii, nikiamka mapema na kuwatuma,+ nikisema: “Tafadhali, msifanye chukizo la aina hii ambalo nimelichukia.”+