Zaburi 100:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Jueni kwamba Yehova ni Mungu.+Yeye ndiye aliyetufanya, wala si sisi wenyewe.+Sisi ni watu wake na kondoo wa malisho yake.+ Matendo 17:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Naye alifanya kutoka kwa mtu mmoja+ kila taifa+ la watu, ili wakae juu ya uso wa dunia nzima,+ naye aliamuru nyakati+ na mipaka ya makao ya watu,+
3 Jueni kwamba Yehova ni Mungu.+Yeye ndiye aliyetufanya, wala si sisi wenyewe.+Sisi ni watu wake na kondoo wa malisho yake.+
26 Naye alifanya kutoka kwa mtu mmoja+ kila taifa+ la watu, ili wakae juu ya uso wa dunia nzima,+ naye aliamuru nyakati+ na mipaka ya makao ya watu,+