Zaburi 95:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana yeye ni Mungu wetu, na sisi ni watu wa malisho yake na kondoo wa mkono wake.+Leo ikiwa mtaisikiliza sauti yake,+ Ezekieli 34:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “ ‘Na kwa habari yenu ninyi kondoo zangu,+ kondoo wa malisho yangu, ninyi ni watu wa udongo. Mimi ni Mungu wenu,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.” Yohana 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Nami nina kondoo wengine,+ ambao si wa zizi hili;+ hao pia nitawaleta, nao wataisikiliza sauti yangu,+ nao watakuwa kundi moja, mchungaji mmoja.+ 1 Petro 2:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana mlikuwa kama kondoo, wanaopotea njia;+ lakini sasa mmerudi kwa mchungaji+ na mwangalizi wa nafsi zenu.
7 Kwa maana yeye ni Mungu wetu, na sisi ni watu wa malisho yake na kondoo wa mkono wake.+Leo ikiwa mtaisikiliza sauti yake,+
31 “ ‘Na kwa habari yenu ninyi kondoo zangu,+ kondoo wa malisho yangu, ninyi ni watu wa udongo. Mimi ni Mungu wenu,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.”
16 “Nami nina kondoo wengine,+ ambao si wa zizi hili;+ hao pia nitawaleta, nao wataisikiliza sauti yangu,+ nao watakuwa kundi moja, mchungaji mmoja.+
25 Kwa maana mlikuwa kama kondoo, wanaopotea njia;+ lakini sasa mmerudi kwa mchungaji+ na mwangalizi wa nafsi zenu.