Mambo ya Walawi 6:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Ikiwa nafsi inatenda dhambi, kwa kujiendesha kwa njia isiyo ya uaminifu kwa Yehova+ naye amdanganye+ mwenzake juu ya kitu fulani alicho nacho au arbuni iliyo mkononi mwake+ au kumnyang’anya, au ampunje mwenzake,+
2 “Ikiwa nafsi inatenda dhambi, kwa kujiendesha kwa njia isiyo ya uaminifu kwa Yehova+ naye amdanganye+ mwenzake juu ya kitu fulani alicho nacho au arbuni iliyo mkononi mwake+ au kumnyang’anya, au ampunje mwenzake,+