Yeremia 31:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitaipanda nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda uzao wa mwanadamu na uzao wa mnyama wa kufugwa.”+ Zekaria 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nami nitawatawanya kama mbegu katikati ya mataifa,+ nao watanikumbuka wakiwa mbali;+ nao wataamka pamoja na wana wao na kurudi.+
27 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitaipanda nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda uzao wa mwanadamu na uzao wa mnyama wa kufugwa.”+
9 Nami nitawatawanya kama mbegu katikati ya mataifa,+ nao watanikumbuka wakiwa mbali;+ nao wataamka pamoja na wana wao na kurudi.+