23 Nami hakika nitampanda yeye duniani kama mbegu kwa ajili yangu,+ nami nitamwonyesha rehema yeye ambaye hakuonyeshwa rehema,+ nami nitawaambia wale ambao si watu wangu: “Ninyi ni watu wangu”;+ wao nao watasema: “Wewe ni Mungu wangu.” ’ ”+
7 “Na mabaki ya Yakobo+ watakuwa katikati ya makabila mengi ya watu kama umande kutoka kwa Yehova,+ kama manyunyu mengi ya mvua juu ya mimea,+ ambayo hayamtumaini mwanadamu wala kuwangojea wana wa mtu wa udongo.+