24 Basi mfalme wa Ashuru akaleta watu kutoka Babiloni+ na Kutha na Ava+ na Hamathi+ na Sefarvaimu,+ akawakalisha katika majiji ya Samaria+ badala ya wana wa Israeli; nao wakaanza kumiliki Samaria na kukaa katika majiji yake.
9 Kwa hiyo mwanamke huyo Msamaria akamwambia: “Wewe, ujapokuwa Myahudi, unawezaje kuniomba maji ya kunywa, na mimi ni mwanamke Msamaria?” (Kwa maana Wayahudi hawana shughuli na Wasamaria.)+