2 Wafalme 4:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Basi akakiweka mbele yao, nao wakaanza kula, nao wakawa na masalio kulingana na neno la Yehova.+ Marko 8:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi wakala na kushiba, nao wakaokota ziada ya vipande vidogo, vikapu saba vya chakula vilivyojaa.+ Luka 9:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa hiyo wote wakala, wakashiba, na ziada waliyokuwa nayo ikaokotwa, vikapu kumi na viwili vya vipande.+ Yohana 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lakini walipokuwa wameshiba+ akawaambia wanafunzi wake: “Kusanyeni pamoja vipande ambavyo vimebaki, ili chochote kisipotee bure.”
8 Basi wakala na kushiba, nao wakaokota ziada ya vipande vidogo, vikapu saba vya chakula vilivyojaa.+
17 Kwa hiyo wote wakala, wakashiba, na ziada waliyokuwa nayo ikaokotwa, vikapu kumi na viwili vya vipande.+
12 Lakini walipokuwa wameshiba+ akawaambia wanafunzi wake: “Kusanyeni pamoja vipande ambavyo vimebaki, ili chochote kisipotee bure.”