Zaburi 78:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Katika neno la kimethali nitakifungua kinywa changu;+Nitafanya vitendawili vya zamani za kale vibubujike,+ Mathayo 13:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 ili litimizwe lililosemwa kupitia nabii aliyesema: “Nitakifungua kinywa changu kwa mifano, nitatangaza mambo yaliyofichwa tangu kuwekwa msingi.”+ Marko 4:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kwa kweli, hakuwa akisema nao bila mfano, lakini kwa faragha alikuwa akiwaeleza wanafunzi wake mambo yote.+
2 Katika neno la kimethali nitakifungua kinywa changu;+Nitafanya vitendawili vya zamani za kale vibubujike,+
35 ili litimizwe lililosemwa kupitia nabii aliyesema: “Nitakifungua kinywa changu kwa mifano, nitatangaza mambo yaliyofichwa tangu kuwekwa msingi.”+
34 Kwa kweli, hakuwa akisema nao bila mfano, lakini kwa faragha alikuwa akiwaeleza wanafunzi wake mambo yote.+