13 Yehova wa majeshi—yeye Ndiye mnayepaswa kuona kuwa mtakatifu,+ naye ndiye anayepaswa kuwa kitu cha kuogopwa nanyi,+ na Yeye ndiye anayepaswa kuwatetemesha ninyi.”+
7 akisema kwa sauti kubwa: “Mwogopeni Mungu+ na kumpa utukufu,+ kwa sababu saa ya hukumu yake imefika,+ na kwa hiyo mwabuduni Yeye aliyezifanya+ mbingu na dunia na bahari na chemchemi za maji.”+