28 Na msiwaogope+ wale ambao wanaua mwili lakini hawawezi kuiua nafsi; lakini badala ya hivyo mwogopeni+ yeye anayeweza kuangamiza vyote viwili nafsi na mwili katika Gehena.*+
5 Lakini nitawaonyesha ninyi yule mnayepaswa kumwogopa: Mwogopeni yule+ ambaye baada ya kuua ana mamlaka ya kutupa ndani ya Gehena.*+ Ndiyo, ninawaambia ninyi, Mwogopeni+ Huyo.
4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe,+ Yehova,+ na kulitukuza jina lako,+ kwa sababu wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”+