Mathayo 12:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Ndipo baadhi ya waandishi na Mafarisayo wakamjibu, wakasema: “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.”+ Luka 11:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Umati walipokuwa wakisongamana pamoja, akaanza kusema: “Kizazi hiki ni kizazi kiovu; kinatafuta ishara.+ Lakini hakuna ishara ambayo kitapewa ila ishara ya Yona.+
38 Ndipo baadhi ya waandishi na Mafarisayo wakamjibu, wakasema: “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.”+
29 Umati walipokuwa wakisongamana pamoja, akaanza kusema: “Kizazi hiki ni kizazi kiovu; kinatafuta ishara.+ Lakini hakuna ishara ambayo kitapewa ila ishara ya Yona.+