8 au yeye anayehimiza, na awe katika kuhimiza+ kwake; yeye anayegawa, na afanye hivyo kwa ukarimu;+ yeye anayesimamia,+ na afanye hivyo kwa bidii ya kweli; yeye anayeonyesha rehema,+ na afanye hivyo kwa uchangamfu.
10 Kulingana na fadhili zisizostahiliwa+ za Mungu nilizopewa, mimi kama msimamizi wa ujenzi mwenye hekima niliweka msingi,+ lakini mtu mwingine anajenga juu yake. Lakini kila mmoja na aendelee kuangalia jinsi anavyojenga juu yake.+
17 Watiini wale wanaoongoza katikati yenu+ na mnyenyekee,+ kwa maana wanaendelea kuzilinda nafsi zenu kama wale watakaotoa hesabu;+ ili wafanye hivyo kwa shangwe na si kwa kuugua, kwa maana kufanya hivyo kungewadhuru ninyi.+