Waroma 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na acheni kufanyizwa+ kulingana na mfumo huu wa mambo, bali mgeuzwe kwa kufanya upya akili yenu,+ ili mjihakikishie wenyewe+ mapenzi+ ya Mungu yaliyo mema na yenye kukubalika na makamilifu. Wafilipi 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 kwamba mhakikishe mambo yaliyo ya maana zaidi,+ ili muwe bila kasoro+ na msiwe mkiwakwaza+ wengine mpaka siku ya Kristo,
2 Na acheni kufanyizwa+ kulingana na mfumo huu wa mambo, bali mgeuzwe kwa kufanya upya akili yenu,+ ili mjihakikishie wenyewe+ mapenzi+ ya Mungu yaliyo mema na yenye kukubalika na makamilifu.
10 kwamba mhakikishe mambo yaliyo ya maana zaidi,+ ili muwe bila kasoro+ na msiwe mkiwakwaza+ wengine mpaka siku ya Kristo,