8 Lakini aliwaokoa kwa ajili ya jina lake,+
Ili kufanya nguvu zake zijulikane.+
9 Aliikemea Bahari Nyekundu, ikakauka;
Aliwaongoza katika vilindi vyake kana kwamba wanapitia jangwani;+
10 Aliwaokoa kutoka mikononi mwa adui yao+
Na kutoka mikononi mwa adui aliwakomboa.+