15 “Utamwagiza fundi wa kutarizi atengeneze kifuko cha kifuani cha maamuzi.+ Atakitengeneza kama efodi, kwa kutumia dhahabu, nyuzi za bluu, sufu ya zambarau, kitambaa cha rangi nyekundu, na kitani bora kilichosokotwa.+
9 Kifuko hicho kilikuwa cha mraba kilipokunjwa mara mbili. Walikitengeneza kifuko hicho cha kifuani kikiwa na urefu wa shubiri moja* na upana wa shubiri moja kinapokunjwa mara mbili.