Mambo ya Walawi 18:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Msifanye kama wanavyofanya katika nchi ya Misri ambako mliishi, wala msifanye kama wanavyofanya katika nchi ya Kanaani ambako nawapeleka.+ Msifuate sheria zao. Mambo ya Walawi 20:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Hampaswi kufuata sheria za mataifa ninayoyafukuza kutoka mbele yenu;+ kwa sababu yamefanya mambo hayo yote, nami ninayachukia kabisa mataifa hayo.+ Kumbukumbu la Torati 18:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Mtakapoingia katika nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa, msijifunze kuiga mazoea yenye kuchukiza ya mataifa hayo.+
3 Msifanye kama wanavyofanya katika nchi ya Misri ambako mliishi, wala msifanye kama wanavyofanya katika nchi ya Kanaani ambako nawapeleka.+ Msifuate sheria zao.
23 Hampaswi kufuata sheria za mataifa ninayoyafukuza kutoka mbele yenu;+ kwa sababu yamefanya mambo hayo yote, nami ninayachukia kabisa mataifa hayo.+
9 “Mtakapoingia katika nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa, msijifunze kuiga mazoea yenye kuchukiza ya mataifa hayo.+