11 Ndipo Yehova akamtuma Yerubaali+ na Bedani na Yeftha+ na Samweli,+ naye akawaokoa ninyi kutoka mikononi mwa maadui waliowazunguka, ili mwishi kwa usalama.+
27 Kwa sababu hiyo uliwatia mikononi mwa maadui wao,+ walioendelea kuwatesa.+ Lakini walipokuwa wakiteseka walikulilia, nawe uliwasikia ukiwa mbinguni; na kwa sababu ya rehema zako nyingi, uliwapa waokozi waliowaokoa kutoka mikononi mwa maadui wao.+