22 “Wenye furaha ni ninyi watu wanapowachukia,+ wanapowatenga,+ wanapowashutumu, na kuwachafulia jina kwa ajili ya Mwana wa binadamu. 23 Siku hiyo shangilieni na kuruka kwa shangwe, kwa maana tazama! thawabu yenu ni kubwa mbinguni, kwa kuwa mababu zao waliwatendea manabii mambo hayohayo.+