Mathayo 5:10, 11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Wenye furaha ni wale ambao wameteswa kwa ajili ya uadilifu,+ kwa kuwa Ufalme wa mbinguni ni wao. 11 “Wenye furaha ni ninyi, watu wanapowashutumu+ na kuwatesa+ na kuwasingizia kila aina ya uovu kwa sababu yangu.+ Yohana 17:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nimewapa neno lako, lakini ulimwengu umewachukia, kwa sababu wao si sehemu ya ulimwengu,+ kama vile ambavyo mimi si sehemu ya ulimwengu. 1 Petro 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini hata mkiteseka kwa ajili ya uadilifu, ninyi ni wenye furaha.+ Hata hivyo, msiogope kile wanachokiogopa,* wala msiwe na wasiwasi.+
10 “Wenye furaha ni wale ambao wameteswa kwa ajili ya uadilifu,+ kwa kuwa Ufalme wa mbinguni ni wao. 11 “Wenye furaha ni ninyi, watu wanapowashutumu+ na kuwatesa+ na kuwasingizia kila aina ya uovu kwa sababu yangu.+
14 Nimewapa neno lako, lakini ulimwengu umewachukia, kwa sababu wao si sehemu ya ulimwengu,+ kama vile ambavyo mimi si sehemu ya ulimwengu.
14 Lakini hata mkiteseka kwa ajili ya uadilifu, ninyi ni wenye furaha.+ Hata hivyo, msiogope kile wanachokiogopa,* wala msiwe na wasiwasi.+