Luka 19:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Alipokuwa akienda walikuwa wakitandaza mavazi yao ya nje barabarani.+ Yohana 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi wakachukua matawi ya mitende na kutoka nje kwenda kumlaki, nao wakaanza kusema kwa sauti kubwa: “Tunaomba umwokoe! Amebarikiwa yule anayekuja katika jina la Yehova,*+ Mfalme wa Israeli!”+
13 Basi wakachukua matawi ya mitende na kutoka nje kwenda kumlaki, nao wakaanza kusema kwa sauti kubwa: “Tunaomba umwokoe! Amebarikiwa yule anayekuja katika jina la Yehova,*+ Mfalme wa Israeli!”+