Yohana 13:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Ninawapa ninyi amri mpya, kwamba mpendane; kama vile ambavyo nimewapenda,+ nanyi mpendane vivyo hivyo.+ 1 Yohana 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wapendwa, siwaandikii amri mpya, bali amri ya zamani ambayo mmekuwa nayo tangu mwanzo.+ Amri hiyo ya zamani ni neno ambalo mlisikia. 2 Yohana 5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Bibi, sasa ninakuomba kwamba tupendane. (Siwaandikii amri mpya, bali amri tuliyokuwa nayo tangu mwanzo.)+
34 Ninawapa ninyi amri mpya, kwamba mpendane; kama vile ambavyo nimewapenda,+ nanyi mpendane vivyo hivyo.+
7 Wapendwa, siwaandikii amri mpya, bali amri ya zamani ambayo mmekuwa nayo tangu mwanzo.+ Amri hiyo ya zamani ni neno ambalo mlisikia.
5 Bibi, sasa ninakuomba kwamba tupendane. (Siwaandikii amri mpya, bali amri tuliyokuwa nayo tangu mwanzo.)+