Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • cf uku. 150
  • “Upendo Alio Nao Kristo Hutuchochea”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Upendo Alio Nao Kristo Hutuchochea”
  • ‘Njoo Uwe Mfuasi Wangu’
  • Habari Zinazolingana
  • Upendo Hutuchochea Kuhubiri
    Huduma Yetu ya Ufalme—2001
  • Upendo Unaoshikamanisha
    Amkeni!—1996
  • Je! Utauitikia Upendo wa Yesu?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1992
  • ‘Kuishi Si Tena Kwa AJili Yetu Wenyewe’
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1974
Pata Habari Zaidi
‘Njoo Uwe Mfuasi Wangu’
cf uku. 150

SEHEMU YA 3

“Upendo Alio Nao Kristo Hutuchochea”

Ni nini kinachotuchochea kuendelea kumfuata Yesu? Mtume Paulo anajibu: “Upendo alio nao Kristo hutuchochea.” (2 Wakorintho 5:14) Katika sehemu hii, tutajifunza kuhusu upendo alio nao Yesu—kumwelekea Yehova, kuwaelekea wanadamu, na jinsi anavyompenda kila mmoja wetu. Kujifunza kuhusu upendo huo kutatuchochea sana. Mioyo yetu itachochewa, nasi tutaona kwamba ni lazima tuchukue hatua, tufanye maendeleo, na kufuata mfano wa Bwana wetu.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2026 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki