9 Kwa maana ukitangaza waziwazi kwa kinywa chako kwamba Yesu ni Bwana,+ na kuwa na imani moyoni mwako kwamba Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, utaokolewa.
9 Kwa maana ukitangaza waziwazi lile ‘neno lililo katika kinywa chako mwenyewe,’+ kwamba Yesu ni Bwana,+ na kuonyesha imani moyoni mwako kwamba Mungu alimfufua kutoka kwa wafu,+ utaokolewa.+